MIAKA 25 YA KUWAUNGANISHA WAKULIMA TANZANIA

Mtandao wa Vikundi vya Wakulima Tanzania (MVIWATA) tumeadhimisha miaka 25 ya kuwaunganisha wakulima. Mgeni Rasmi katika maadhimisho haya alikuwa ni Waziri Mkuu Mhe, Kassim Majaliwa kwa niaba ya Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli.

Maadhimisho haya yalihudhuriwa na wakulima zaidi ya 2000 kutoka sehemu mbalimbali za nchi. Pamoja na hao pia walikuwepo viongozi wa serikali, balozi, mashirika wenza na wageni waalikwa.

Mviwata on Facebook

Subscribe to our monthly newsletter